Msomaji wetu kwanza tunakupongeza kwa kutumia hii blog hii kupata taarifa mbalimbali zinazoendelea jijini hususani zinazohusu Dala dala. Lengo la Blog hii ni kuishurutisha jamii ya watanzania ili kushinikiza maendeleo. Kwa kutumia Dala Dar Leo, usafiri Dar es salaam utabadilika na kuwa na mazingira mazuri kiasi cha kuruhusu watu wengi zaidi kuutumia. Hivyo tunaamni hili litakuwa ni jukwaa lako la kushiriki katika mijadala mbalimbali ili kuboresha huduma hiyo muhimu. Asante Mhariri
DarLeo
Usikubali kupitwa na Darleo kila siku jioni kwa Habari na matukio ya leo leo. Gazeti pekee la kila siku jioni. Sasa limesheheni habari moto moto kutoka mtaani kwako.
Monday, September 27, 2010
Subscribe to:
Comments (Atom)