Upanga Aga khani, Polisi akiafungua namba za gari iliyotanua na kupita kwenye service road, Big Up Polisi...
Nilipokuwa Magomeni kwenye mataa, mchana jua kali sana ilibidi abiria kwenye basi letu kununua mataulo kukausha jasho. . . Duh machinga wanasevu - Big Up Machinga...
Vituo vyetu vimetimia, Mikocheni B hapo jamaa anauza mahindi ya kuchoma, kwa tuliovusha lanchi tunaponea hapo Big Up Mchoma mahindi...
Jamaa wanahama Upanga, maisha ya upanga bei juu bana, swali ni je wanahamia wapi? Big Up wahamishaji. . .
Huko Upanga nako hakuna nafuu yoyote na uswahilini kwetu, cheki jinsi shida ya maji ilivyotawala bongo, sasa katoto haka sijui shule kanaenda saa ngapi, hivi hakuna maji digital? Big up kaka msaidie dogo sio kumtazama...
Mabondeni mpo...? haya nafikiri unapajua hapa, bonde la mkwajuni hilo mvua ikija sijui itakuwaje...
Mkwajuni hapo, mambo ya kupakia mzigo kwenye daladala. . .
Afadhali mi niko kwenye Daladala, cheki mshikaji kakaa juu ya maji...sijui tani ngapi hizo...Big Up Uhai
Duu. . .mpaka sasa hali ndo hii. . . sijui itakuwaje leo. kijana muuza maji akitafakari katikati ya barabara Magomeni mapipa. . .Big up Muuza maji...
Jamaa wanataka tuache kupanda daladala tuendeshe Pikipiki. . . ila na jua hili sijui itakuwaje Big Up pikipiki
Sasa trafik akipumzika kivulini Vijana siwangetoa msaada, maana Mwenge ni balaa, hahaaaa. . . Big Up Trafik
Mbezi mwisho hiyo... kituo au soko. . .Big Up mikokoteni. . .
Hapa ndio lango la Jiji maana wengi mtapitia hapa kwa sasa mkitoka zenu bara huko Kwi kwi kwi. . . Big Up Ubungo
Hizi kampeni zitatutoa roho. . .jamaa sijui kafikishaje picha kule juu. . .Big up kampeni
Sawa! hii ni kwa wale mnaodai ni shida kupanda daladala, cheki Kenya sasa hayo ndo mambo yalivyo upvountry Big up Rover...
Msomaji wetu kwanza tunakupongeza kwa kutumia hii blog hii kupata taarifa mbalimbali zinazoendelea jijini hususani zinazohusu Dala dala. Lengo la Blog hii ni kuishurutisha jamii ya watanzania ili kushinikiza maendeleo. Kwa kutumia Dala Dar Leo, usafiri Dar es salaam utabadilika na kuwa na mazingira mazuri kiasi cha kuruhusu watu wengi zaidi kuutumia. Hivyo tunaamni hili litakuwa ni jukwaa lako la kushiriki katika mijadala mbalimbali ili kuboresha huduma hiyo muhimu. Asante Mhariri
DarLeo
Usikubali kupitwa na Darleo kila siku jioni kwa Habari na matukio ya leo leo. Gazeti pekee la kila siku jioni. Sasa limesheheni habari moto moto kutoka mtaani kwako.
Thursday, September 30, 2010
Subscribe to:
Comments (Atom)
